Timu zinazoshiriki Kombe la Mapinduzi Zanzibar 2017
Zanzibar, TanzaniaKombe la Mapinduzi lilianzishwa mwaka 2007 visiwani Zanzibar kwa ajili ya kuenzi mapinduzi yaliyoleta uhuru wa Zanzibar mwaka 1964. Michuano ya kombe hili hufanyika kila mwaka mwezi Januari, na hushirikisha vilabu mbalimbali vinavyofanya vizuri visiwani Zanzibar pamoja na vile vya Tanzania bara.
Leo tumekuletea orodha ya majina ya vilabu vyote vinavyoshiriki michuano ya kombe hilo kwa mwaka huu 2017. Angalia kwenye jedwali lifuatalo.
NO | JINA | MAKAAZI | KUNDI |
1 | Simba SC | Dar Es Salaam | A |
2 | Taifa Jang'ombe | Zanzibar | A |
3 | Jang'ombe Boys | Zanzibar | A |
4 | KVZ | Zanzibar | A |
5 | URA | Uganda | A |
6 | Yanga | Dar Es Salaam | B |
7 | Azam | Dar Es Salaam | B |
8 | Jamhuri | Zanzibar | B |
9 | Zimamoto | Zanzibar | B |
Jumla | Vilabu 9 | Znz-5, Bara-3, UG-1 | A-5 & B-4 |
Related Articles
Simba SC yailambisha mabao 2-1 timu ya Taifa Jang'ombe
Yanga yaichapa Jamhuri mabao 6-0 katika michuano ya Mapinduzi Cup
Habari nyingine
URA yashindwa kutamba mbele ya Simba SC, Mapinduzi Cup
Azam FC yalazimishwa sare na Jamhuri FC ya Pemba
Timu zinazoshiriki Kombe la Mapinduzi Zanzibar 2017
Yanga yaichapa 2-0 Zimamoto FC
Simba SC yazidi kusonga mbele kwenye michuano ya Mapinduzi Cup
No comments:
Post a Comment